Aika Swai, New York, USA
"Sisi tunaoishi nje tunawaomba kina baba na mama, kaka na dada mumpe kura zenu
Kikwete na Karume. Maisha bora kwa kila mtanzania."
Mgombea wa kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Bw Jakaya Kikwete ameahidi kuongeza idadi ya Mawaziri wanawake katika Serikali yake ikiwa atachaguliwa kushika wadhifa huo.
Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bw. Jakaya Kikwete, amewataka vijana nchini kusoma zaidi ili kukabiliana na ushindani katika soko la ajira.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia CCM Bw. Jakaya Mrisho Kikwete, na mgombea mwenza wake, Dk. Mohamed Shein, walimaliza kazi za kujaza fomu za kugombea na kula kiapo katika Mahakama Kuu ya Tanzania.
MGOMBEA Urais wa Jamuhuri ya Muungano kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete, ametoa changamoto kwa vijana wa chama hicho kutoweteka wakidhani kwamba kutakuwa na ushindi wa chee katika Uchaguzi Mkuu ujao. Kikwete alitoa kauli hiyo wakati akizungumza katika Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM jijini Dar es Salaam jana.