Yaliyomo
Search


Advanced Search
 

Aika Swai, New York, USA
"Sisi tunaoishi nje tunawaomba kina baba na mama, kaka na dada mumpe kura zenu Kikwete na Karume. Maisha bora kwa kila mtanzania."

 »  Home  »  Authors  »  Mike Mushi
Mike Mushi
Articles by this Author
» Kikwete aongoza maoni Tanzania
By Mike Mushi | Published 03/23/2005 | Kutoka Magazetini |
Waziri wa mambo ya nje wa Tanzania, Jakaya Kikwete, ameongoza kura za maoni ya wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC katika kuwania tikiti ya CCM kwenye uchaguzi wa rais nchini humo.
Kikwete ambaye alianza kwa kasi ndogo, alimaliza fainali akiwa na kura 3161 ambazo ni sawa na asilimia 48.2.
» Sitarudisha nyumba za serikali – Kikwete
By Mike Mushi | Published 05/6/2005 | Kutoka Magazetini |
Siku mbili tu baada ya kuteuliwa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),Waziri wa Mmambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,
Jakaya Kikwete, ameanika wazi msimamo wake kuhusu uuzaji wa nyumba za serikali.
» Nitaongeza ajira Kikwete
By Mike Mushi | Published 05/6/2005 | Kutoka Magazetini |

 Aomba achaguliwe atoe ajira kwa vijana na kuinua wanyonge "

Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Bw, Jakaya Mrisho Kikwete amewaomba vijana kujitokeza kwa wingi siku ya Uchaguzi Mkuu na kumpigia kura za ndio, ili afanye kazi ya kuwapatia ajira na kuinua hali za wanyonge.

» Kikwete: Apokewa kifalme Zanzibar
By Mike Mushi | Published 05/8/2005 | Kutoka Magazetini |

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Bwana Jakaya Mrisho Kikwete , mgombea mwenza wake pamoja na mgombea wa Zanzibar, wamepewa mapokezi ya kifalme mjini hapa, mapokezi ambayo yalisababisha shughuli kibao kusimama.

» Uchaguzi wa mwaka huu mgumu-Kikwete
By Mike Mushi | Published 05/19/2005 | Kutoka Magazetini |
MGOMBEA Urais wa Jamuhuri ya Muungano kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete, ametoa changamoto kwa vijana wa chama hicho kutoweteka wakidhani kwamba kutakuwa na ushindi wa chee katika Uchaguzi Mkuu ujao. Kikwete alitoa kauli hiyo wakati akizungumza katika Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM jijini Dar es Salaam jana.
» Kikwete aonya mashabiki wake
By Mike Mushi | Published 06/23/2005 | Kutoka Magazetini |
Kikwete aonya mashabiki wake
» IMANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI
By Mike Mushi | Published 08/13/2005 | Imani ya CCM |

1. Binadamu wote ni Sawa

2. Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa
na kuthaminiwa utu wake

3. Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya
kujenga jamii ya watu walio sawa na

» Kikwete, Shein wala kiapo mbele ya Jaji
By Mike Mushi | Published 08/13/2005 | Kutoka Magazetini |
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia CCM Bw. Jakaya Mrisho Kikwete, na mgombea mwenza wake, Dk. Mohamed Shein, walimaliza kazi za kujaza fomu za kugombea na kula kiapo katika Mahakama Kuu ya Tanzania.
» Mwalimu Julius Nyerere Biography
By Mike Mushi | Published 08/13/2005 | J.K. Nyerere |

Mwalimu Julius K. Nyerere, the late Chairman of the South Centre, was born in Butiama Village near Lake Victoria and walked 26 miles to begin primary school in Musoma at the age of 12. He obtained his secondary education at the Tabora Government Secondary School and was offered a scholarship to study at Makerere University in Uganda where he obtained a Teacher's Diploma. He also obtained a Master of Arts degree from the University of Edinburgh in 1952. He taught at Tanzanian schools before he was forced by the colonial authorities to either continue teaching or give up his political activities.

Mwalimu went on to become President of the Republic of Tanzania in the period 1964-1985. He was the founder member and first (and only, as he was constantly re-elected) President of the Tanganyika African National Union (TANU). As President of TANU he campaigned throughout the country for independence from colonial rule. He spoke on behalf of TANU to the Trusteeship Council and Fourth Committee of the United Nations in New York in 1954.

Mwalimu was elected in 1958 as a Member of the Legislative Assembly in the first elections in which the black population had a vote. He subsequently became the Leader of the Opposition in Parliament. In 1960 he became the Chief Minister of the first Internal Government Administration of Independent Tanganyika. He was Prime Minister of the first Government of Independent Tanganyika in 1961 and was elected Tanganyika's first President when it became a Republic in 1962. He became President of the United Republic when Tanganyika and Zanzibar were united in 1964. Mwalimu was the founder member and Chairman of Chama Cha Mapinduzi, which was formed by a merger of TANU and the Afro-Shiraz Party of Zanzibar, from 1977-1989.

He served as the Chairman of the South Commission from 1987 to 1990, an independent international organization set up to review development experience and make recommendations on development strategy for developing countries. He served as honorary Chairman of the Intergovernmental South Centre based in Geneva while continuing to live in Tanzania) which is the successor organization promoting South-South co-operation and solidarity. He was also Chairman of the Mwalimu Nyerere Foundation.

Mwalimu held numerous honorary degrees from: Edinburgh (UK), Duquesne (USA), Cairo, Nsukka (Nigeria), Ibadan, Monrovia, Toronto, Howard, Jawaharlal Nehru, Havana, Lesotho, the Philippines, and Fort Hare University in South Africa. He was Chancellor of the University of East Africa (1963-1970), Chancellor of University of Dar-es-Salaam (1970-1985) and Chancellor of Sokoine University of Agriculture (1984). He also received numerous awards including the Nehru Award for International Understanding, the Third World Prize, Nansen Medal for Outstanding Service to Refugees and the Lenin Peace Prize.

His publications include Freedom and Unity (1966), Freedom and Socialism (1968), Freedom and Development (1973), Ujamaa (1968), Julius Kaisari- a translation of Julius Caesar into KiSwahili and Mabepari wa Venisi (a translation of Merchant of Venice into KiSwahili).

» Benjamin William Mkapa
By Mike Mushi | Published 08/13/2005 | B.W. Mkapa |

Benjamin William Mkapa (born November 12, 1938) is the president of the United Republic of Tanzania (since 1995), for the Revolutionary State Party. His second 5-year term of office ends in October 2005. Previous posts include being the administrative officer in Dodoma and the Minister for Science, Technology and Higher Education. Also led the Tanzania mission to the USA. He was also the Foreign affairs Minister for six years.

During his term Mkapa continued the liberalization of the economy that began under his predecessor Ali Hassan Mwinyi. He privatized most of the state owned corporations and pursued free market policies designed to attract foreign investment.

Critics of Mkapa's policies felt that he went too far in allowing foreign companies control over the economy. They further claimed that his policies failed to improve the economic condition of the average Tanzanian.

His supporters argued that attracting foreign investment was the only way to achieve economic growth. His policies won the support of the World Bank and IMF and resulted in the cancellation of some of Tanzania's foreign debts.

» Ali Hassan Mwinyi
By Mike Mushi | Published 08/13/2005 | A.H. Mwinyi |

Ali Hassan Mwinyi (born May 8, 1925, on the island of Zanzibar) was the president of the United Republic of Tanzania from 1985 to 1995. Previous posts include Interior Minister and Vice President.

During Mwinyi's terms Tanzania took the first steps to reverse the socialist policies of Julius Nyerere. He relaxed import restrictions and encouraged private enterprise. It was during his second term that multi-party politics were introduced under pressure from foreign donors.

Even though Mwinyi's free-market policies had some success, he was widely criticized for the high degree of corruption and wide-spread tax evasion that flourished during his term.

In retirement, Mwinyi has stayed out of the limelight and continues to live in Dar es Salaam. Many argue that during Mwinyi's tenure the country did not have a proper and disciplined money policy. Hence inflation was rampant and people were deceived by the overflow of money whose value was deteriorating day by day.

» Kikwete ahimiza vijana kusoma kukabili ushindani soko la ajira
By Mike Mushi | Published 08/14/2005 | Kutoka Magazetini |
Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bw. Jakaya Kikwete, amewataka vijana nchini kusoma zaidi ili kukabiliana na ushindani katika soko la ajira.
» Kikwete atikisa ngombe ya CUF.
By Mike Mushi | Published 08/14/2005 | |
Hapana shaka kwamba nguvu za kisiasa za Jakaya kikwete ni kubwa, jana zilivuka bahari za kutikisa visiwa vya zanzibar ambako ni ngombe kuu ya Chama cha Wananchi (CUF)
» Mjue Jakaya Mrisho Kikwete
By Mike Mushi | Published 08/15/2005 | Jakaya Kikwete |

Mjue Jakaya Mrisho Kikwete

Jina la Kwanza:
Jina la Katikati:
Jina la Mwisho:
Aina ya Uanachama:
Sehemu ya Ubunge:
Chama:
Anuani ya Ofisi:

Alizaliwa Oktoba 7, mwaka 1950 katika kijiji cha Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.

Elimu.

1958-1961 - Shule ya Msingi Msoga
1962-1965 - Shule ya Msingi ya Kati ya Lugoba
1966-1969 - Shule Sekondari Kibaha
1970-1971 - Shule ya Sekondari Tanga
1972-1975 - Chuo Kiku cha Dar es Salaam, Shahada ya kwanza ya Uchumi
1976-1977 - Mafunzo ya Afisa wa Jeshi
                - Mafunzo ya Uongozi wa Jeshi Monduli
1983-1984 - Mafunzo ya Makamanda wa Jeshi

Nafasi alizowahi kushika

1975-1977 - Katibu msaidizi wa TANU wa Mkoa
1977-1980 - Katibu Msaidizi wa CCM, Kisiwani Zanzibar
1980-1981 - Afisa Utumishi wa CCM makao makuu
1981-1983 - Katibu wa CCM Mkoa Tabora
1983-1986 - Mkufunzi wa Siasa katika Chuo cha uongozi wa Jeshi Monduli
1986-1988 - Katibu wa CCM Wilaya ya Nachingwea na baadaye Masasi
1988-1990 - Naibu Waziri wa Nishati na Madini
1990-1994 - Waziri wa Nishati, Madini na Maendeleo ya Maji
1994-1995 - Waziri wa Fedha
1995- Hadi sasa -  Mbunge wa Chalinze
1995-2000 - Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
2000-2005 -  Aliteuliwa tena kuuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Wadhifa ambao anaushikilia mpaka sasa.

» Jarida Pepe
By Mike Mushi | Published 08/15/2005 | Jarida Pepe |
» KikweteShein.com
By Mike Mushi | Published 08/16/2005 | Utangulizi |
» 29 octoba 1995 Uchaguzi wa Rais
By Mike Mushi | Published 08/17/2005 | Uchaguzi 1995 |

Mgombea   Chama Wapigakura Asilimia
1:Benjamin W.Mkapa   CCM 4,026,422 61.82%
2:Augustine L.Mrema   NCCR-Mageuzi 1,808,616 27.77%
3:Ibrahim H:Lipumba   CUF 418,973 6.43%
4:John M.Cheyo   UDP 258,734 3.97%
       
Idadi ya viti vya Ubunge 232 (269)*  
Chama Wapigakura Asilimia Viti Jumla
1:CCM 3,814,125 59.22% 186 214
2:NCCR-Mageuzi 1,406,343 21.83% 16 19
3:CHADEMA 396,825 16% 3 4
4:CUF 323,432 5.02% 24 28
5:UDP 213,481 3.31% 3 4
Vyama vingine 286,708 4.45%    
       
Idadi ya wapigakura waliojitokeza 6,512,745 76.70%  

» 29 octoba 2000 Uchaguzi wa Rais
By Mike Mushi | Published 08/17/2005 | Uchaguzi 2000 |

Mgombea Chama Wapigakura Asilimia
1:Benjamin W.Mkapa CCM 5,863,201 71.74%
2:Ibrahim H.Lipumba CUF 1,329,077 16.26%
3:Augustine L.Mrema TLP 637,115 7.80%
4:John M.Cheyo UDP 3,428,914 2.00%
Walipiga kura:     72.80%
     
Idadi ya viti vya ubunge (269)*
Chama     Wabunge    
1:CCM 244    
2:CUF 15    
3:CHADEMA 4    
4:TLP 3    
5:UDP 2    
     
Wapigakura: 84.40%    
Jumla ya kura: 8,172,284    
     
*Idadi hii haihusishi wabunge wa Zanzibar ambako CCM na CUF tu walikuwa na uwakilishi

» Wabunge watarajiwa wa CCM Mkoa wa Arusha
By Mike Mushi | Published 08/17/2005 | Arusha |
JIMBO MGOMBEA
   
Wilaya ya Arumeru  
Arumeru Magharibi Elisa David MOLLEL
Arumeru Mashariki Jeremiah Solomon SUMARI
WIlaya ya Monduli  
Monduli Edward Ngoyai LOWASSA
Longido Michael Lekule LAIZER
Wilaya ya Karatu  
Karatu Patrick Luciano TSERE.
Wilaya ya Arusha  
Arusha Felix Christopher MREMA
Wilaya ya Ngorongoro  
Ngorongoro Saning'o Kaikai TELELE
» Wabunge Watarajiwa wa CCM Dar es Salaam
By Mike Mushi | Published 08/17/2005 | Dar Es Salaam |

Jimbo Mgombea
Wilaya ya Temeke  
Temeke Abbas Z. MTEMVU
Kigamboni Msomi A. MWINCHUMU
Wilaya ya Kinondoni  
Kawe Ritha Louise MLAKI
Kinondoni Idd Mohamed AZZAN
Ubungo Charles N. KEENJA
Wilaya ya Ilala  
Ilala Mussa Hussein AZZAN (zungu)
Ukonga Dr.Milton Makongoro MAHANGA

» Wabunge Watarajiwa wa CCM Dodoma
By Mike Mushi | Published 08/17/2005 | Dodoma |
Jimbo Mgombea
Wilaya ya Dodoma Mjini  
Dodoma Mjini Ephraim Nehemia MADEJE
Wilaya ya Dodoma Vijijini  
Bahi William Jonathan KUSILA
Chilonwa Ezekiah Ndahani CHIBULUNJE
Mtera John Samwel MALECELA
Wilaya ya Kondoa  
Kondoa Kaskazini Zabein Muhaji MHITA
Kondoa Kusini Pascal Constantine DEGERA
Wilaya ya Kongwa  
Kongwa