Aika Swai, New York, USA
"Sisi tunaoishi nje tunawaomba kina baba na mama, kaka na dada mumpe kura zenu
Kikwete na Karume. Maisha bora kwa kila mtanzania."
MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete, ametimiza ahadi yake kwa Miss World Africa, Nancy Sumary, ya kumkaribisha Ikulu, Dar es Salaam, na kumpongeza kwa kutwaa taji hilo.
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Kilimanjaro, Thomas Ngawaiya, amewajia juu wote wanaolibeza Baraza la Mawaziri la serikali ya awamu ya nne lililoteuliwa na Rais Jakaya Kikwete.